• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Ustawi wa Jamii
    • Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Fedha na Biashara

KITENGO     CHA BIASHARA

1.Ahmed Seja - Afisa Biashara

2.Jane Mmari - Afisa Biashara

MAJUKUMU YA KITENGO     CHA BIASHARA

Tunaweza kugawanya majukumu ya kitengo cha biashara katika makundi manne,

 kama ifuatavyo:-

(A)Urasimishaji wa Biashara: - kundi hili linajumuisha majukumu yote mahususi ambayo yanahusiana na utekelezaji wa Sheriaya Leseni za Biashara na 25 ya 1972 na sheria ya Leseni za Vileo ya Mwaka 1968. Sheria hizi ndizo zimekuwa   zikiwekewa mkazo na ndio majukumu ya msingi ambayo kitengo cha biashara

kinafanya kwasasa.

(B) Ukusanyaji wa Mapato:- Ukweli ni kwamba Kitengo cha biashara, hasa baada ya kurejeshwa ada za Leseni za biashara, kimekuwa mkombozi wa Halmashauri zote. Vyanzo vingi vya pato la ndani (ownsource) kama vile Ada za Leseni,Ushuru wa Huduma, Mabango, Usafirishaji, Kodi za pango kwenye masoko

na minada vinachangia kwa kiasi kikubwa pato la ndani la Halmashauri.

(C) Takwimu na Taarifa: - kundi hili linajumuisha ukusanyaji, upokeaji na usambazaji wa takwimu muhimu za biashara na wafanyabiashara, viwanda, biashara za mipakani, mazao ya kilimo, miundombinu ya masoko, wajasiriamali na wamachinga, taarifa za fursa za uwekezaji katika sekta mbalimbali

n.k.

D) Uwezeshaji: - kundi hili linajumuisha shughuli zote za kutoa elimu na taarifa za biashara kwa wafanyabiashara, mafunzo ya ujasiriamali,

 uwaunganisha na masoko na maonyesho ya biashara, utambuzi na uanzishaji wa maeneo ya kufanyia biashara, n.k.


Matangazo

  • Majina ya makarani wa sensa waliochaguliwa kushiriki mafunzo Halmashauri ya Mji Kondoa July 28, 2022
  • Tangazo la mikopo ya asilimia 10 kwa robo ya kwanza 2022/2023 August 11, 2022
  • Tangazo la Mikopo ya Asilimia Kumi robo ya nne 2021/2022 May 06, 2022
  • Tangazo la kazi May 25, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Watumishi Halmashauri ya Mji wamshukuru Mhe. Rais

    August 04, 2022
  • "Taarifa utazotoa kwa karani ni siri" - Dkt. Mkanachi

    July 30, 2022
  • IPOSA kuwezesha vijana 400 Kondoa Mji

    April 09, 2022
  • DC. Mkanachi awaasa wachukua taarifa anwani za makazi

    March 09, 2022
  • Tazama Vyote

Video

Fursa za uwekezaji Kondoa Mji
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa