• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CHF ILIYOBORESHWA yajipanga kufikia asilimia 10 ya wanufaika mwaka 2022

Tarehe iliyowekwa: May 29th, 2021

Sekela Mwasubila, Mbeya

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imejipanga kuendelea kuboresha huduma za CHF ILIYOBORESHWA kwa kuongeza wanufaika wa huduma za afya kutoka asilimia 5 ya mwaka 2021 hadi kufikia asilimia 10 mwaka 2022.

Hayo yamesemwa na Ziada Nkinda Shekalaghe kwa niaba ya  Mkurugenzi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais- TAMISEMI wakati akifungua semina ya siku moja kwa waratibu wa mikoa, maafisa habari wa mikoa na maafisa TEHAMA mkoani Mbeya.

"Tumeona umuhimu wa maafisa habari katika kutangaza CHF ILIYOBORESHWA kwani hata mratibu akifanya vizuri bila kuyaandika hayo mazuri hayawezi kufika kwa walengwa ndio maana tumeona umuhimu wenu na tunaamini mtaitangaza CHF ili iwafikie watunwengi zaidi," amesema Bi. Shekalaghe

Aidha amesema hadi kufikia April 2021 jumla ya watu milioni 3 wamejiunga na kufanikiwa kukusanya shilingi bilioni 18 ambapo jumla ya shilingi bilioni 7 zimerudishwa katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa ajili ya kuboresha huduma za afya.

"Uwepo wenu wote hapa nina imani tutaweza kuboresha zaidi mfuko huu na kufikia asilimia 30 badala ya 10 tuliyojiwekea mwaka 2022 na kufikia lengo la Serikali la bima ya afya kwa wote,"amesisitiza Bi. Shekalaghe

Hatahivyo aliwashauri waratibu wa CHF ILIYOBORESHWA ngazi ya mikoa kutokujifungia peke yao badala yake washirikiane na wengine na kuwaambia kuwa kila mtu kwa nafasi yake anaweza kuinua CHF ILIYOBORESHWA sehemu alipo.

Semina ya siku moja ya CHF ILIYOBORESHWA inafanyika mkoani Mbeya ambapo imehudhuriwa na viongozi kutoka OR TAMISEMI, maafisa Habari wa mikoa, waratibu wa CHF mikoa na Maafisa TEHAMA wa mikoa lengo likiwa kuweka mikakati ya pamoja ya uhamasishaji Jamii kujiunga na CHF iliyoboreshwa kutoka asilimia 6 hadi 10 mwaka 2022 ambapo lengo la taifa ni kufikia asilimia 30 mwaka 2025.

Matangazo

  • Tangazo la mikopo inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu February 21, 2025
  • Matokeo ya kidato cha nne 2024 shule za Sekondari Kondoa Mji January 23, 2025
  • Tangazo la kushiriki mazoezi ya kila Jumamosi ya pili kila mwezi January 02, 2025
  • Tangazo la umilikishwaji viwanja January 02, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Majaliwa aagiza miradi kukamilika ifikapo Mei 31

    May 08, 2025
  • ALAT mkoa wa Dodoma yatembelea miradi ya maendeleo Kondoa Mji

    May 03, 2025
  • Baraza la Madiwani lajivunia mafanikio kipindi cha miaka mitano

    April 30, 2025
  • Baraza la kazi robo ya tatu lafanyika Kondoa Mji Ushirikiano ukisisitizwa

    April 29, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Matukio ya Mwenge wa Uhuru Kondoa Mji 2025
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa