• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

"Vitengo vya Mawasiliano Serikalini viimarishwe"

Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa amezitaka Halmashauri zote nchini kuzingatia maelekezo ya Rais Samia ya kuimarisha vitengo vya Mawasiliano ya Serikali (GCU) kwa kuvipatia vitendea kazi.

Ameyasema hayo wakati akifunga kikao kazi cha Maafisa Habari wa Mikoa, Halmashauri na Taasisi zilizo chini ya OR viimarishwe kwa kupatiwa vitendea kazi na kwamba halmashauri ambazo hazitafanya hivyo zitakuwa zimekiuka maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

"Nakemea kasumba ya baadhi ya Wakurugenzi wa Halmashauri wanaodhani vitengo hivi havihitaji fedha na kuwataka Maafisa Habari kuhakikisha mnatumia redio za kijamii na waandishi wa habari kueleza mazuri ambayo serikali imeyatekeleza katika maeneo yao"amesema Msigwa

Ameongeza kwa kuwataka wajiandae kwa kushirikiana na viongozi wao kuandaa taarifa zitakazowasilishwa katika mikutano na Waandishi wa Habari katika mikoa yao kazi ambayo itaanza kufanyika mapema mwezi Juni baada ya kukamilisha mikutano ya Mawaziri.

 Aidha amewataka Maafisa Habari kuhakikisha wanandaa mikakati ya Mawasiliano ya Taasisi zao ili kutangaza kimkakati kazi zilizofanywa na Serikali ili wananchi wazijue.

Maafisa Habari kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa walishiriki kikao hicho muhimu katika kuboresha utendaji kazi wa vitengo hivyo.


Matangazo

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Halmashauri ya Mji Kondoa November 06, 2025
  • Matokeo ya Kidato cha Sita Kondoa Girls 2025 July 07, 2025
  • Tangazo la kazi za muda June 28, 2025
  • Majina ya walioitwa kwenye usaili Kondoa Mji June 13, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Kondoa Mji yafanya tathmini ya Lishe robo ya kwanza; kilimo cha bustani chasisitizwa

    November 26, 2025
  • Kondoa Mji wajadili taarifa za kata robo ya kwanza 2025/2027

    November 10, 2025
  • Kondoa Mji yatoa milioni 153 za mikopokwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu robo ya kwanza 2025/2026

    October 24, 2025
  • Jimbo la Kondoa Mjini wafanya hamasa ya uchaguzi mkuu kata ya Serya

    October 12, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Ziara ya CMT kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo robo ya kwanza 2025/2026
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa