• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wadau wa huduma ndogo za kifedha Kondoa Mji wapatiwa mafunzo

Tarehe iliyowekwa: May 26th, 2023

Wadau wa huduma ndogo za kifedha katika Halmashauri ya Mji Kondoa wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya kifedha na mikopo ili watoe huduma bora na wakopaji kupata huduma bora isiyomuumiza.

Mafunzo hayo yamefunguliwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kondoa Mhe. Mohamed Kiberenge kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Khamis Mkanachi na yamefanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji Kondoa hivi karibuni.

Akiongea Mhe.Kiberenge amewataka washiriki wa mkutano huo kuwa makini mitaani na watu wanaowafuata ili wawapatie mikopo kwa kuwachangisha fedha kwani hakuna utaratibu kama huo nchini.

"Kuna watu wanatumia vibaya majina ya viongozi mtoe taarifa katika ngazi za uongozi katika maeneo yenu hasa kwa Watendaji na Wenyeviti ili watu hao wachukuliwe hatua za kisheria, zipendeni hela zenu msizitoe hovyo,"amesisitiza Mhe. Kiberenge

Aidha amewataka washiriki kutokuwa wasiri wanapokutana na changamoto kwa waliowakopesha ili kuepuka kujidhuru na kuzisihi taasis zinazotoa huduma ndogo za kifedha kushiriki katika shughuli za kijamii ili kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita katika utekelezaji wa miradi.

Nao wawezeshaji kutoka Wizara ya Fedha wamewasihi wananchi kuwa waangalifu na wakopeshaji wanaowafuata ambapo wamewataka kuhakikisha kabla ya kuchukua mikopo wakopeshaji hao wawe wanatambulika kisheria na serikali.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Bi. Irene Mosha amewataka wamiliki wa taasisi za huduma ndogo za kifedha kuwapatia elimu wakopaji wao kabla ya kuwapatia elimu na kuboresha ofisi zao ili ziendane na huduma wanazozitoa.

"Nawasihi sana nyie wamiliki mzingatie usafi wa mazingira katika maeneo yenu, ulipaji wa service levy, kuwakopesha watu wenye mahitaji maalum na upandaji wa miti," amesisitiza Bi. Irene

Mafunzo kwa wadau wa huduma ndogo za kifedha yamefanyika ambapo yamehudhuriwa na Kamati ya Usalama Wilaya, Waheshimiwa Madiwani, watoa huduma ndogo za kifedha, wanavicoba na wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha.

Matangazo

  • Tangazo la mikopo inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu February 21, 2025
  • Matokeo ya kidato cha nne 2024 shule za Sekondari Kondoa Mji January 23, 2025
  • Tangazo la kushiriki mazoezi ya kila Jumamosi ya pili kila mwezi January 02, 2025
  • Tangazo la umilikishwaji viwanja January 02, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Majaliwa aagiza miradi kukamilika ifikapo Mei 31

    May 08, 2025
  • ALAT mkoa wa Dodoma yatembelea miradi ya maendeleo Kondoa Mji

    May 03, 2025
  • Baraza la Madiwani lajivunia mafanikio kipindi cha miaka mitano

    April 30, 2025
  • Baraza la kazi robo ya tatu lafanyika Kondoa Mji Ushirikiano ukisisitizwa

    April 29, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Matukio ya Mwenge wa Uhuru Kondoa Mji 2025
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa