• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wafungwa 44 wanufaika na msamaha wa Rais Wilaya ya Kondoa

Tarehe iliyowekwa: December 10th, 2019

Zaidi ya wafungwa 40 wa gereza la Wilaya ya Kondoa wamenufaika na msamaha uliotolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa maadhimisho ya siku ya Uhuru yaliyofanyika Mkoani Mwanza.

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Sezaria Makota amesoma tamko la kuwatoa wafungwa hao alipotembelea gereza hilo mnamo tarehe 10.12.2019.

Akiongea na wafungwa walioachiwa Mkuu wa Wilaya alisema kuwa msamaha huo umetolewa kutokana na upendo na huruma ya Rais Dkt. John Magufuli kwa wananchi wake na kuwasihi kutotumia vibaya fursa hiyo ya msamaha waliyoipata.

“Msamaha wa mwaka huu ni wa kihistoria kwani haijawahi kutokea idadi kubwa kama hii ya wafungwa kupata msamaha mkawe watu wema katika jamii na sitegemei kuwaona tena gerezani,” alisema Mhe. Makota.

Aidha aliwasihi kwenda kufanya shughuli za kilimo kwani msimu huu ni wa mvua na kuutumia ujuzi mbalimbali walioupata wakiwa gerezani kwa aili ya uzalisha mali na kujipatia kipato halali ili wajiinue kiuchumi.

Hata hivyo aliwasihi wafungwa walioachiliwa kwenda kuwa na nidhamu kwani Kamati ya Ulinzi na Usalama itawafuatilia kujua mwenendo wao katika  maeneo yao.

“Wafungwa watakaosamehewa leo ni wafungwa waliobakiza siku 0hadi miezi 6, wafungwa waliobakiza  miezi 7 hadi 12 na wafungwa watakaotoka ni wale ambao majina yao yapo kwenye orodha ya majina yaliyoletwa kutoka makao makuu tu,”alisisitiza Mhe. Makota.

Naye mmoja wa wafungwa walioachiliwa Hussein Juma mkazi wa Mtaa  wa Iyoli aliwashukuru viongozi wote kwa kupata msamaha wa Rais na kuahidi kwenda kuwa mtu mwema na kuleta maendeleo.

Msamaha wa wafungwa umetolewa na Rais Dkt. John Magufuli katika maadhimisho ya siku ya Uhuru ambapo wafungwa 5533 walipata msamaha bila kujali aina ya kosa walilofanya.

Matangazo

  • Tangazo la mikopo inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu February 21, 2025
  • Matokeo ya kidato cha nne 2024 shule za Sekondari Kondoa Mji January 23, 2025
  • Tangazo la kushiriki mazoezi ya kila Jumamosi ya pili kila mwezi January 02, 2025
  • Tangazo la umilikishwaji viwanja January 02, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Majaliwa aagiza miradi kukamilika ifikapo Mei 31

    May 08, 2025
  • ALAT mkoa wa Dodoma yatembelea miradi ya maendeleo Kondoa Mji

    May 03, 2025
  • Baraza la Madiwani lajivunia mafanikio kipindi cha miaka mitano

    April 30, 2025
  • Baraza la kazi robo ya tatu lafanyika Kondoa Mji Ushirikiano ukisisitizwa

    April 29, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Matukio ya Mwenge wa Uhuru Kondoa Mji 2025
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa