• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAVIU waaswa kutumia fursa za mikopo ya Halmashauri

Tarehe iliyowekwa: October 18th, 2022

Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (WAVIU) katika Halmashauri aya Mji Kondoa wameaswa kutumia fursa za mikopo isiyo na riba itokanayo na mapato ya Halmashauri ili kukuza mitaji yao na kujiinua kiuchumi.

Hayo yamesemwa na wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti maambukizi ya UKIMWI wakati wa ziara ya kutembelea vikundi vya WAVIU katika kata ya  Chemchem iliyofanyika hivi karibuni.

“Mzingatie sana masomo mliyopewa kwenye VICOBA mkiyazingatia hata hii mikopo haitawapa shida kurejesha na sisi tunataka tuone matokeo ambapo hali zenu zinakwenda kubadilika na itafanya ambao hawakujiunga kwenye vikundi nao wajiunge na wabadilike,”amesema Mhe. Abushehe Mbuva mjumbe wa kamati.

Aidha amewataka wanavikundi hao kutambuana na kujenga mahusiano na vikundi vingine ikiwa ni pamoja na kutembeleana ili kubadilishana uzoefu kwani inawezekana wanachozalisha inaweza kuwa ni hitaji kwa vikundi vingine.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Besela Maunga amewasihi wanavikundi hao kupendana na kufarijiana ili kuwavutia wengine ambao hawajajiunga na kuwataka kuachana na migogoro isiyo na tija.

“Hebu sisi tupendane tushirikiane na tutiane moyo tusivunjane moyo wenyewe kwa wenyewe tutachekwa isitokee sasa visasi vikaendelea hapana tumtangulize Mungu katika mambo yetu ili tuwe vizuri zaidi ,”amesisitiza Mhe. Besela

Wakiongea awali wawakilishi wa vikundi wameishukuru Halmashauri kwa kuendelea kuwajali na wamehaidi kujipanga tayari kwa kuchukua mikopo inayotolewa na Halmashauri kwa ajili ya kukuza mitaji yao na awali walishindwa kuchukua mikopo hiyo kwa kua waliogopa marejesho.

Wajumbe wa Kamati ya kudhibiti maambukizi ya UKIMWI imetembelea vikundi vitatu ambavyo ni Upendo, Changamoto na Fahisefa vinavyojishughulisha na ufugaji wa kuku, sungura na uzalishaji wa miche ya miti aidha waliongozana na Kaimu Mkurugenzi Annette Nara na Afisa Maendeleo ya Jamii Latipha Koshuma.

Matangazo

  • Tangazo la mikopo inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu February 21, 2025
  • Matokeo ya kidato cha nne 2024 shule za Sekondari Kondoa Mji January 23, 2025
  • Tangazo la kushiriki mazoezi ya kila Jumamosi ya pili kila mwezi January 02, 2025
  • Tangazo la umilikishwaji viwanja January 02, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • SHULE BORA yawapatia mafunzo ya tathmini Walimu 66 wa Kondoa Mji

    May 26, 2025
  • "Vitengo vya Mawasiliano Serikalini viimarishwe"

    May 24, 2025
  • Maafisa Habari hakikisheni wananchi wanapata habari sahihi

    May 23, 2025
  • Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la awali ngazi ya kata yatolewa kwa Watendaji Kondoa Mji

    May 14, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Matukio ya Mwenge wa Uhuru Kondoa Mji 2025
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa