• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
      • Divisheni
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAVURUGA ELIMU WAMKERA DC KONDOA

Tarehe iliyowekwa: February 7th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mh. Sezaria Makota amesema hatowafumbia macho wale wote wenye nia ya kuishusha wilaya ya Kondoa kielimu kwa kuvuruga kwa makusudi mikakati ya kuinua elimu wilayani humu.

Aliyasema hayo wakati wa kikao cha wadau wa elimu wa Halmashauri ya Mji Kondoa kilichofanyika katika ukumbi wa Kondoa Irangi hivi karibuni na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa elimu ili kujadili changamoto na  mikakati ya kuinua elimu ndani ya Wilaya ya Kondoa.

Alisema kuwa katika utawala wake hatoruhusu elimu kushuka kwani matokeo ya darasa la saba mwaka jana wilaya imeshuka kiwastani ukilinganisha na mwaka juzi ambapo wilaya ilikuwa na wastani wa asilimia 80 na mwaka jana imeshuka na kufikia asilimia 71 hivyo viongozi wajipange kusimamia elimu ili kuhakikisha ufaulu unapanda.

Aidha aliwaagiza maafisa elimu kumpelekea mipango yao ili kuona jinsi gani wanainua elimu na kutaka viongozi wa Halmashauri kuacha migogoro na kutekeleza mipango kwa vitendo ili kufikia mafanikio katika elimu.

Wakiongea wadau mbalimbali waliojitokeza walisema kuwa changamoto kubwa ya kushusha ufaulu katika wilaya ni upungufu wa walimu, wazazi kutokuwa na mwamko wa elimu, kukosekana kwa mafunzo kwa walimu, kutolipa madai ya walimu mapema na utoro wa wanafunzi kutokana na kutoelewa masomo.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kondoa Mh. Hamza Mafita alifafanua kuwa Halmashauri inaendelea kujipanga kuboresha sekta ya walimu kwa kuwapatia motisha walimu na kuwapatia gari Idara ya Elimu ili waweze kufanya ufuatiliaji wa elimu na kuwaagiza Waheshimiwa Madiwani kuweka elimu kuwa agenda ya kudumu katika vikao vya kata.

Akifunga kikao hicho Mbunge wa Kondoa Mjini Mh. Edwin Sannda alisema kuwa viongozi wanawajibu wa kuwabadilisha wazazi ili wawe na utamaduni wa kupenda elimu ikiwa ni pamoja na kuzingatia maadili kwa wanafunzi, walimu na watumishi kwani kwa kufanya hivyo elimu itapanda kwani changamoto zilizopo ni za nchi nzima.

Kikao cha wadau wa Elimu kilifanyika hivi karibuni wilayani Kondoa kwa ajili ya kubaini, kujadili changamoto na kuweka mikakati ya kuinua elimu ambapo pia walimu mbalimbali wa Shule za Masingi waliofaulisha kwa alama A kwa somo walipewa zawadi ikiwemo shule tano zilizofanya vizuri na shule tano zilizofanya vibaya.

Matangazo

  • Tangazo la mikopo inayotolewa kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu February 21, 2025
  • Matokeo ya kidato cha nne 2024 shule za Sekondari Kondoa Mji January 23, 2025
  • Tangazo la kushiriki mazoezi ya kila Jumamosi ya pili kila mwezi January 02, 2025
  • Tangazo la umilikishwaji viwanja January 02, 2025
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Majaliwa aagiza miradi kukamilika ifikapo Mei 31

    May 08, 2025
  • ALAT mkoa wa Dodoma yatembelea miradi ya maendeleo Kondoa Mji

    May 03, 2025
  • Baraza la Madiwani lajivunia mafanikio kipindi cha miaka mitano

    April 30, 2025
  • Baraza la kazi robo ya tatu lafanyika Kondoa Mji Ushirikiano ukisisitizwa

    April 29, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Matukio ya Mwenge wa Uhuru Kondoa Mji 2025
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa