• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Wafanyakazi |
    • Malalamiko |
Kondoa Town Council
Kondoa Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Kondoa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu sekondari
      • Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
      • Idara ya Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Teknolojia,Habari,Mawasiliano na uhusiano
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Ustawi wa Jamii
    • Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
  • Kituo cha habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Usafi na Mazingira

IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA

 

IDADI YA WATUMISHI:

1. ALFRED CHAKALIKE MWIJANO - AFISA MAZINGIRA

MAJUKUMU YA IDARA

  • Kuandaa na kutekeleza program za kutoa elimu ya Mazingira kwa wadau mbalimbali kuhusu njia bora za kudhibiti uchafuzi wa uharibifu wa mazingira na athari zake.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria za mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kufuatilia ili kupata taarifa za mazingira kutoka katika maeneo yote ynayotakiwa kuhifadhiwa.
  • Kufuatilia na kutathimini athari za uchafuzi wa Mazingira katika makazi, viwanda, migodi, ujenzi wa kilimo na ufugaji.
  • Kuandaa miongozo ya ujenzi wa miundo mbinu yataka katika maeneo ya biashara, viwanda na shughuli nyingine za kuchumi ili kuhakikisha hali ya usafi katika maeneo hayo na kudhibiti uzagaaji wa taka.
  • Kufanya mapitio na marekebisho ya sheria ndogo za usafi na hifadhi za mazingira
  • Kufuatilia utekelezaji wa kazi za kamati za mazingira na kamati za kudumu za Halmashauri zinazoanzishwa na sherria ya usimamizi wa mazingira ngazi ya Halmashauri hadi kitongoji/ mtaa.
  • Kusimamia usafishaji na ukusanyajii wa taka ngumu kutoka kwenye majengo, maeneo ya wazi, barabara na mifereji ya kuondoa maji ya mvua pamoja na kusimamia uhifadhi wa muda, uchambuzi na usafiriashaji Taka Ngumu
  • Kusimamia uchambuaji, utupaji Taka Ngumu na uendeshaji Dampo la kisasa.
  • Kuandaa na kutekeleza miradi mbalimbali kuhusu usimamizi wa Hifadhi ya Mazingira
  • Kufanya Tafiti zenye uhusiano na masuala ya hifadhi ya Mazingira.
  • Kuweka na kusimamia miongozo ya usimamizi wa majitaka yanayomwagwa kwenye mazingira ili kulinda viwango vya mazingira.
  • Kufuatilia miradi ambayo haijafanyiwa tathimini ya athari kwa mazingira katika maeneo yao ya kazi
  • Kuandaa taarifa ya hali ya mazingira katika maeneo ya kazi
  • Kusimamia na kutekeleza kazi nyingine zitakazoelekezwa na mamlaka za juu.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili nafasi ya Katibu Muhtasi na Madereva Halmashauri ya Mji Kondoa February 24, 2023
  • Matokeo ya Kidato cha nne Shule za Halmashauri ya Mji Kondoa January 29, 2023
  • Waliochaguliwa na shule walizopangiwa kidato cha kwanza 2023 Kondoa Mji December 14, 2022
  • Tangazo la kazi December 07, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Mhe. Rais, Ditopile watoa milioni 15 kwa Wanawake wa Vikoba Kondoa

    March 13, 2023
  • "Shirikianeni watoro warudi shuleni"- Mkurugenzi Sweya

    March 09, 2023
  • RC Senyamule aongoza Wanawake wa Dodoma kuadhimisha siku yao Duniani

    March 08, 2023
  • Madaktari bingwa wawashauri wananchi kuchunguza afya mapema

    March 05, 2023
  • Tazama Vyote

Video

Fursa za uwekezaji Kondoa Mji
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati
  • Maktaba ya Picha
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Sheria ndogo
  • Ripoti Mbalimbali
  • Fomu Mbalimbali
  • Miradi Inayoendelea

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Mtaa wa Kwapakacha

    Anuani ya Posta: S.L.P 711

    Simu ya Mezani: +255 712264912

    Simu ya Mkononi: +255 712264912

    Barua Pepe: td@kondoatc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Kondoa - Haki Zote Zimehifadhiwa