- Mwanzo
- Kuhusu Sisi
-
Utawala
- Muundo wa Taasisi
-
Divisheni
- Idara ya Afya
- Idara ya Maji
- Idara ya Utumishi na Utawala
- Idara ya Mipango ,Takwimu na Ufuatiliaji
- Idara ya Fedha na Biashara
- Idara ya Elimu Msingi
- Idara ya Elimu sekondari
- Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
- Idara ya Mifugo na Uvuvi
- Idara ya Ardhi na Maliasili
- Idara ya Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
- Idara ya Ujenzi na Zimamoto
- Idara ya Usafi na Mazingira
- Divisheni
- Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
- Divisheni ya Elimu ya Sekondari
- Divisheni ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
- Divisheni ya Miundombinu Vijijini na Mijini
- Divisheni ya Viwanda Bishara na Uwekezaji
- Divisheni ya Usimamizi na Utawala wa Rasilimali watu
- Divisheni ya Mipango na Uratibu
- Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
- Divisheni ya Kilimo, Mifugi na Uvuvi
- Kitengo
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma Zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha habari


Hata hivyo amewataka watendaji kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua bila kuangalia hali ya mtu na kuachana na tabia za kuwajibu vibaya wananchi na kutowafukuza ikiwa ni pamoja na kuwahudumia kwa moyo mmoja.
Kikao cha watendaji wa kata na mitaa na Mkurugenzi kimefanyika ikiwa ni mwendelezo wa vikao vyake vya kukutana na watumishi mbalimbali kwa lengo la kujitambulisha na kusikiliza changamoto zao mara baada ya kuhamia katika Halmashauri ya Mji Kondoa kutoka Halmashauri ya jiji la Tanga.

